Upinzani waipongeza mahakama kwa kubatilisha uuzaji wa hisa za Safaricom
Description (show more)
Muungano wa upinzani, ukiongozwa na kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka, umepongeza uamuzi wa Mahakama Kuu wa kubatilisha uuzaji wa hisa zinazomilikiwa na serikali katika kampuni ya Safaricom. Upinzani sasa unaitaka serikali kuheshimu uamuzi wa mahakama na kurejesha fedha ilizopokea, ukisema hautakubali uuzaji wa hisa hizo kwa kuwa Safaricom inatekeleza majukumu muhimu nchini, ikiwemo katika uchaguzi mkuu ujao.
Related Videos
More from Citizen TV Kenya
2:35Sifuna azuiwa na uongozi wa chuo cha JKUAT Karen kuhudhuria mkutano katika chuo hicho
· 1 views
1:55Rais Ruto aendeleza mashambulizi yake dhidi ya Uhuru Kenyatta
· 2 views
3:15Rais William Ruto ataja upinzani kama kundi la watu wasio na mwelekeo, dira wala ajenda
· 10 views
2:56Watu 9 Wafariki Katika Ajali Mbili za Barabarani Machakos na Kisii
· 18 views
3:26Familia 300 Zarudi Mau Baada ya Kukosa Fidia ya Sh2.6B
· 12 views
2:20
2:23Watu watano waliuwawa Gotu , kaunti ya Isiolo jana Jumatano.
· 5 views
1:26Sifuna speaks after initially being denied access to a meeting at JKUAT’s Karen Campus
· 25 views
