Kenyans Live

Serikali yatetea mfumo wa uagizaji mafuta wa G-to-G

Description (show more)

Serikali imetetea mfumo wake wa uagizaji mafuta wa G-to-G kutoka mataifa ya Ghuba, ikisisitiza kuwa mpango huo hautasitishwa kwani umesaidia kupungua kwa bei na kuwaokoa pakubwa Wakenya. Waziri wa Kawi na Petroli Opiyo Wandayi akisema kuwa jumla ya kampuni 6 zinazohusika na uagizaji wa mafuta nchini na hapo awali nchini Uganda, hazikuteuliwa na serikali ya Kenya bali na wauzaji wenyewe kutoka mataifa ya Ghuba.

Share: