Vyama vya kisiasa vyakataa kusaini mkataba wa amani wa NCIC
Description (show more)
Vyama vya kisiasa vimesusia kutia saini mkataba wa kudhibiti uchochezi wa kisiasa na machafuko ulioandaliwa na Tume ya Uwiano na Utangamano (NCIC). Vyama hivyo vinalalamikia kutohusishwa katika uundaji wa mkataba huo, huku vikitaja pia kususiwa kwa hafla hiyo na vyama vikuu vya kisiasa pamoja na kutokuchukuliwa hatua dhidi ya viongozi wanaohusishwa na machafuko kama sababu za kukosa imani na makubaliano hayo.
Related Videos
More from Citizen TV Kenya
4:50Juja quintuplets leave questions behind
3:35
2:38
6:10Quickfire questions with Mustafa || Dr Ofweneke Tonight
· 1 views
3:40Didmus Barasa Denies JKUAT Degree Claims, Says Allegations Are Politically Motivated
· 68 views
3:02Matatu driver linked to fatal Enterprise Road crash denied bail over dangerous driving charges
· 17 views
3:019 Killed in Separate Road Accidents in Machakos and Kisii Counties
· 57 views
3:00Protests erupt in Isiolo over insecurity after 5 killed in suspected bandit attack in Gotu
· 12 views
