Kenyans Live

Habari za Biashara | Adhabu kali yapendekezwa kwa wauzaji mbegu ghushi

Description (show more)

Shirika la ukaguzi wa afya ya mimealinapendekeza adhabu kali zaidi kwa wauzaji wa mbegu ghushi ili kuwakinga wakulima na kuongeza uzalishaji chakula. Mkurugenzi mkuu wa shirika hilo Theophilus Muthui amesema adhabu kali zinahitajika ili kuzuia usambazaji wa mbegu ghushi ambazo zinahujumu mavuno, kipato cha wakulima na uzalishaji chakula. Taarifa hii na nyingine ni kwenye kitengo cha Kapu la Biashara. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive

Share: