Wazee Kajiado kusini waongoza mapambano dhidi ya mila potovu
81 viewsYouTube
Description (show more)
Mila potovu kama ukeketaji, ndoa za utotoni na mimba za mapema zimeendelea kuwa kikwazo kwa elimu na maendeleo ya watoto wa kike katika katika kaunti ya kajiado hasa maeneo ya mpakani kati ya Kenya na Tanzania. Sasa wazee, wamechukua jukumu la kupambana na mila hiyo potovu.
Related Videos
More from Citizen TV Kenya
1:55Five killed, 13 injured in Kapiti road crash
· 16 views
26:28Anthony Muia Kioko, CEO of Cereal Growers Association, an agribusiness expert & champion of farmers.
· 10 views
11:12Helping Children Understand Cancer Through a New Workbook
· 24 views
1:25:27Are Schools Preparing Students For the Jobs of Tomorrow?
· 51 views
3:21Kakamega Homeboyza inawania kuandikisha matokeo ya kufana 2026/27
· 24 views
1:38Jamii ya ogiel Eldama Ravine imeibua wasiwasi kuhusu matumizi ya dawa yenye kemikali shambani
· 22 views
1:48Kenya inaimarisha upatikanaji wa vifaa vya tiba
· 14 views
2:07Uchaguzi wa baraza la vijana unatarajiwa kufanyika baada ya miaka 14
· 30 views
