Ruto amshutumu Uhuru kwa kuhujumu serikali
Description (show more)
Rais William Ruto amezidisha mashambulizi yake dhidi ya mtangulizi wake, Rais mstaafu Uhuru Kenyatta, akisema anahujumu serikali yake. Akizungumza baada ya kukamilisha ziara yake katika eneo la Nyanza leo, Rais Ruto alirejelea ahadi ya Kenyatta ya “yangu kumi na Ruto kumi”, akisema licha ya ahadi hiyo, Kenyatta alimsaliti na kumpigia debe mgombea mwingine kuwa rais.
Related Videos
More from Citizen TV Kenya
4:50Juja quintuplets leave questions behind
3:35
2:38
6:10Quickfire questions with Mustafa || Dr Ofweneke Tonight
· 1 views
3:40Didmus Barasa Denies JKUAT Degree Claims, Says Allegations Are Politically Motivated
· 68 views
3:02Matatu driver linked to fatal Enterprise Road crash denied bail over dangerous driving charges
· 17 views
3:019 Killed in Separate Road Accidents in Machakos and Kisii Counties
· 57 views
3:00Protests erupt in Isiolo over insecurity after 5 killed in suspected bandit attack in Gotu
· 12 views
