Bei ya mafuta ya petroli yasalia ile ile kwa siku-30 zijazo
Description (show more)
Wenye magari wataendelea kulipa bei bei zile zile za mafuta ya Super, Diezeli na mafuta taa kwa muda wa siku 30 baada ya halmashauri ya kudhibiti sekta ya kawi na mafuta (EPRA) kudumisha bei za mafuta kwa bidhaa hizo tattu. Jijini Nairobi, lita moja ya mafuta ya Super itauzwa kwa shilingi 214.03, Diezeli kwa shilingi 217.86 na mafuta taa kwa shilingi 191.38. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive
Related Videos
More from KBC Channel 1
2:35Sifuna azuiwa na uongozi wa chuo cha JKUAT Karen kuhudhuria mkutano katika chuo hicho
· 1 views
1:55Rais Ruto aendeleza mashambulizi yake dhidi ya Uhuru Kenyatta
· 2 views
3:15Rais William Ruto ataja upinzani kama kundi la watu wasio na mwelekeo, dira wala ajenda
· 10 views
2:56Watu 9 Wafariki Katika Ajali Mbili za Barabarani Machakos na Kisii
· 18 views
3:26Familia 300 Zarudi Mau Baada ya Kukosa Fidia ya Sh2.6B
· 12 views
2:20
2:23Watu watano waliuwawa Gotu , kaunti ya Isiolo jana Jumatano.
· 5 views
1:26Sifuna speaks after initially being denied access to a meeting at JKUAT’s Karen Campus
· 25 views
