Baraza la Wanahabari nchini (MCK) lazindua rasmi mwongozo mpya kuhusu uchaguzi mkuu
Description (show more)
Baraza la Wanahabari nchini (MCK) lazindua rasmi mwongozo mpya utakaowaongoza wanahabari kuhusu uchaguzi mkuu.Hafla hiyo yaendelea katika kaunti ya Nakuru na yalenga kuwapa wanahabari mbinu bora za kuripoti uchaguzi ujao kwa uwajibikaji.Haya yajiri wakati ambapo visa vya wanahabari kushambuliwa, kutishiwa, na kuzuiliwa kufanya kazi yao vimekithiri kote nchini.
Related Videos
More from Citizen TV Kenya
2:35Sifuna azuiwa na uongozi wa chuo cha JKUAT Karen kuhudhuria mkutano katika chuo hicho
· 1 views
1:55Rais Ruto aendeleza mashambulizi yake dhidi ya Uhuru Kenyatta
· 2 views
3:15Rais William Ruto ataja upinzani kama kundi la watu wasio na mwelekeo, dira wala ajenda
· 10 views
2:56Watu 9 Wafariki Katika Ajali Mbili za Barabarani Machakos na Kisii
· 18 views
3:26Familia 300 Zarudi Mau Baada ya Kukosa Fidia ya Sh2.6B
· 12 views
2:20
2:23Watu watano waliuwawa Gotu , kaunti ya Isiolo jana Jumatano.
· 5 views
1:26Sifuna speaks after initially being denied access to a meeting at JKUAT’s Karen Campus
· 25 views
