Kenyans Live

Baraza la Wanahabari nchini (MCK) lazindua rasmi mwongozo mpya kuhusu uchaguzi mkuu

Description (show more)

Baraza la Wanahabari nchini (MCK) lazindua rasmi mwongozo mpya utakaowaongoza wanahabari kuhusu uchaguzi mkuu.Hafla hiyo yaendelea katika kaunti ya Nakuru na yalenga kuwapa wanahabari mbinu bora za kuripoti uchaguzi ujao kwa uwajibikaji.Haya yajiri wakati ambapo visa vya wanahabari kushambuliwa, kutishiwa, na kuzuiliwa kufanya kazi yao vimekithiri kote nchini.

Share: