Kenyans Live

Watu wenye ulemavu Nakuru walalamikia matumizi ya fedha zao

Description (show more)

Watu wenye ulemavu katika Kaunti ya Nakuru wametishia kuwasilisha kesi mahakamani dhidi ya serikali ya kaunti wakidai kaunti imekataa kutoa fedha walizotengewa kwa kipindi cha miaka minne iliyopita.

Share: