Polisi waidhinisha mkutano wa Linda Mwananchi Nairobi
Description (show more)
Huduma ya taifa ya polisi imeidhinisha kundi la Linda Mwananchi kuandaa mkutano wake jijini Nairobi kesho. Kwenye mkutano na wanahabari leo jioni kamanda wa polisi wa eneo la Nairobi Issa Mohammud hata hivyo alitahadharisha kwamba ripoti za kijasusi zinaashiria kwamba huenda kuka njama ya kuvuruga mkutano huo akionya dhidi ya vitendo vya uhuni. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive
Related Videos
More from KBC Channel 1
2:35Sifuna azuiwa na uongozi wa chuo cha JKUAT Karen kuhudhuria mkutano katika chuo hicho
· 1 views
1:55Rais Ruto aendeleza mashambulizi yake dhidi ya Uhuru Kenyatta
· 2 views
3:15Rais William Ruto ataja upinzani kama kundi la watu wasio na mwelekeo, dira wala ajenda
· 10 views
2:56Watu 9 Wafariki Katika Ajali Mbili za Barabarani Machakos na Kisii
· 18 views
3:26Familia 300 Zarudi Mau Baada ya Kukosa Fidia ya Sh2.6B
· 12 views
2:20
2:23Watu watano waliuwawa Gotu , kaunti ya Isiolo jana Jumatano.
· 5 views
1:26Sifuna speaks after initially being denied access to a meeting at JKUAT’s Karen Campus
· 25 views
