Kenyans Live

Chuo cha elimu ya sheria kuweka mikakati ya kuboresha mafunzo

Description (show more)

Serikali inachukua hatua za kubadilisha mafunzo ya wanasheria na kushughulikia wasiwasi wa muda mrefu kuhusu mpito wa wanafunzi kutoka chuo cha sheria kwenda kwenye kazi ya uwakili.

Share: