Kenyans Live

Wanawake kutoka jamii za wafugaji wahimiza kujumuishwa katika utekelezaji maamuzi

Description (show more)

Wadau wametoa wito wa ushirikishwaji wa wanawake kutoka jamii za wafugaji  katika utekelezaji wa maamuzi  ambayo yanaathiri moja kwa moja maisha yao, wakihoji  kuwa kutojumuishwa kwao kunaendelea kupanua changamoto ya ukosefu wa usawa wa kijinsia na kupunguza fursa zao za kujiimarisha kiuchumi. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive

Share: