Wakazi wa Budalangi waingiwa na hofu ya mafuriko ya mto Nzoia
Description (show more)
Licha ya serikali kujizatiti kuweka mikakati kabambe ya kukabiliana na athari za mvua ya El nino, baadhi ya wakazi wanaoishi Budalangi eneo la Bunyala Kusini wameelezea hisia mseto kuhusu maandalizi hayo, wakisisitiza kuwa mito na maziwa yako katika hatari kubwa ya kuathirika na mafuriko ya ghafla.
Related Videos
More from Citizen TV Kenya
2:36Kilifi Yaripoti Kuongezeka kwa Saratani, Kesi 10 Zarekodiwa Kila Wiki
· 20 views
2:31Mradi wa Sh4.4 B Kuwasaidia Wakazi 340,000 Kaskazini Kukabiliana na Ukame
· 14 views

1:19Ex-Govt Spokesperson Mwaura calls for inclusion of PWD agenda in country’s political dispensation
· 68 views
2:01Viongozi wa Dini Wataka Udhibiti wa Sifa Kukabili Walaghai Katika Sekta
· 38 views
2:01Mwanasheria Mkuu Aangazia Umuhimu wa AI Katika Kuboresha Huduma Nchini
· 37 views
1:51Sifuna Azuiwa Kuhutubia Wanafunzi JKUAT, Aikosoa Serikali kwa Hatua Hiyo
· 296 views
2:20Wajir Yaongeza Maandalizi ya El Niño, Wadau Wahimizwa Kuimarisha Tahadhari
· 39 views
