Rais mstaafu Uhuru Kenyatta akanusha madai ya kufadhili upinzani
Description (show more)
Viongozi wakuu wa muungano wa Kenya Kwanza, wakiongozwa na Spika Moses Wetangula, wamewataka wakazi wa Kaunti ya West Pokot kumchagua tena Rais William Ruto kwa kuwa anatekeleza ahadi zake. Wakati huo huo, viongozi hao waliwapuuza wapinzani wa Rais Ruto, wakisema hawana ajenda madhubuti ya kushindana naye. Kwingineko, Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta alikejeli na kupuuzilia mbali lebo ya "mfadhili" au sponsor kutokana na uvumi kwamba anafadhili shughuli za upinzani kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka ujao. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive
Related Videos
More from KBC Channel 1
1:11Mfumo mpya kutumia teknolojia kuimarisha huduma za SHA
23:57
1:50Lewa: Walinzi wa Wanyamapori Kukimbia Km 21 Wakiwa na Mizigo
1:50Kombe la Netiboli Afrika: Kenya Yalenga Kumaliza Tatu Bora Katika Mashindano ya Afrika
33:42🔴LIVE || TV47 HABARI naye Elizabeth Mutuku || TV47KENYA
1:15Agnes Ngetich Awania Kutawala Copenhagen Half Marathon Baada ya Kung’ara Nyika
42:11LIVE: Darubini Wikendi || 18th September 2026 || www.kbc.co.ke
2:26