Kenyans Live

Mfumo mpya kutumia teknolojia kuimarisha huduma za SHA

Description (show more)

Halmashauri ya bima ya Afya ya Jamii -SHA imezindua mfumo wa kidijitali wa Hakika, ambao utatumika kusimamia  mikataba ya wahudumu wa afya kuanzia tarehe moja Oktoba mwaka huu. Halmashauri hiyo imesema kuwa mfumo huo utatoa taarifa kwa wakati ufaao kuhusu huduma zinazotolewa katika vituo vya afya, viwango vya malipo pamoja na taarifa za benki katika juhudi za kushughulikia baadhi ya changamoto zilizojitokeza katika mfumo wa sasa. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive

Share: