Kenyans Live

UASU yaonyakuwa wahadhiri wataendelea na mgomo

Description (show more)

Katibu Mkuu wa Chama cha wahadhiri wa Vyuo Vikuu (UASU) Dkt. Constatine Wasonga aonya kuwa wahadhiri wataendelea na mgomo uliopangwa mwezi ujao iwapo serikali haitatia saini mkataba wa maelewano wa mwaka wa 2025

Share: