Nairobi yatambua maeneo 272 yaliyo hatarini kwa mafuriko
Description (show more)
Kaunti kadhaa nchini zinajiandaa kukabiliana na msimu wa El Niño, huku baadhi zikijitahidi kurekebisha uharibifu uliosababishwa na mvua za mwaka jana kabla hali hiyo haijashuhudiwa tena. Kaunti ya Nairobi inasema imetambua maeneo 272 yaliyo katika hatari ya mafuriko, huku kukiwa na hofu kuwa huenda takriban watu laki moja, wakaathirika zaidi. Hata hivyo wataalamu wanasema mabilioni ya fedha yanayotumika kuboresha mifumo ya kupitisha maji hayatakuwa na maana, iwapo sheria moja muhimu itaendelea kupuuzwa;sheria inayotaka majengo kuwa angalau mita thelathini kutoka ukingo wa mto
Related Videos
More from Citizen TV Kenya
2:36Kilifi Yaripoti Kuongezeka kwa Saratani, Kesi 10 Zarekodiwa Kila Wiki
· 20 views
2:31Mradi wa Sh4.4 B Kuwasaidia Wakazi 340,000 Kaskazini Kukabiliana na Ukame
· 14 views

1:19Ex-Govt Spokesperson Mwaura calls for inclusion of PWD agenda in country’s political dispensation
· 68 views
2:01Viongozi wa Dini Wataka Udhibiti wa Sifa Kukabili Walaghai Katika Sekta
· 38 views
2:01Mwanasheria Mkuu Aangazia Umuhimu wa AI Katika Kuboresha Huduma Nchini
· 37 views
1:51Sifuna Azuiwa Kuhutubia Wanafunzi JKUAT, Aikosoa Serikali kwa Hatua Hiyo
· 296 views
2:20Wajir Yaongeza Maandalizi ya El Niño, Wadau Wahimizwa Kuimarisha Tahadhari
· 39 views
