Rais Ruto awasuta viongozi wahujumu wa maendeleo ya nchi
265 viewsYouTube
Description (show more)
Rais William Ruto ameonya kwamba maendeleo ya nchi yanaweza kuhujumiwa na viongozi ambao shughuli yao kuu ni kutafuta nyadhifa za mamlaka makubwa.Wakati wa ziara yake ya kikazi katika kaunti ya Siaya, Rais alikosoa tena upinzani,akisisitiza kwamba wanaunda upya miungano, vyama vya kisiasa na kaulimbiu zinazopendwa na wananchi, ambazo lengo lake kuu ni kutwaa mamlaka kwa manufaa yao wenyewe. Achola Simon ana taarifa zaidi. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive
Related Videos
More from KBC Channel 1
2:36Kilifi Yaripoti Kuongezeka kwa Saratani, Kesi 10 Zarekodiwa Kila Wiki
· 20 views
2:31Mradi wa Sh4.4 B Kuwasaidia Wakazi 340,000 Kaskazini Kukabiliana na Ukame
· 14 views

1:19Ex-Govt Spokesperson Mwaura calls for inclusion of PWD agenda in country’s political dispensation
· 68 views
2:01Viongozi wa Dini Wataka Udhibiti wa Sifa Kukabili Walaghai Katika Sekta
· 38 views
2:01Mwanasheria Mkuu Aangazia Umuhimu wa AI Katika Kuboresha Huduma Nchini
· 37 views
1:51Sifuna Azuiwa Kuhutubia Wanafunzi JKUAT, Aikosoa Serikali kwa Hatua Hiyo
· 296 views
2:20Wajir Yaongeza Maandalizi ya El Niño, Wadau Wahimizwa Kuimarisha Tahadhari
· 39 views
