Kenyans Live

Serikali italazimika kukubali uagizaji wa vyakula ili kuwahakikishia wakenya chakula cha kutosha

Description (show more)

Huenda serikali ikalazimika kukubali baadhi ya vyakula kuagizwa kutoka nje ili kuwahakikishia wakenya chakula cha kutosha. Haya ni kuwa amujibu wa waziri wa kilimo Mutahi Kagwe. Akizuru Kaunti ya Trans Nzoia kutathmini uharibifu uliosababishwa na kiangazi, Kagwe asema kuwa mabadiliko ya hali ya hewa yameathiri pakubwa uzalishaji wa chakula, hali ambayo itaathiri uzalishaji wa chakula cha kutosha kukithi mahitaji ya taifa.

Share: