Serikali italazimika kukubali uagizaji wa vyakula ili kuwahakikishia wakenya chakula cha kutosha
Description (show more)
Huenda serikali ikalazimika kukubali baadhi ya vyakula kuagizwa kutoka nje ili kuwahakikishia wakenya chakula cha kutosha. Haya ni kuwa amujibu wa waziri wa kilimo Mutahi Kagwe. Akizuru Kaunti ya Trans Nzoia kutathmini uharibifu uliosababishwa na kiangazi, Kagwe asema kuwa mabadiliko ya hali ya hewa yameathiri pakubwa uzalishaji wa chakula, hali ambayo itaathiri uzalishaji wa chakula cha kutosha kukithi mahitaji ya taifa.
Related Videos
More from Citizen TV Kenya
2:36Kilifi Yaripoti Kuongezeka kwa Saratani, Kesi 10 Zarekodiwa Kila Wiki
· 20 views
2:31Mradi wa Sh4.4 B Kuwasaidia Wakazi 340,000 Kaskazini Kukabiliana na Ukame
· 14 views

1:19Ex-Govt Spokesperson Mwaura calls for inclusion of PWD agenda in country’s political dispensation
· 68 views
2:01Viongozi wa Dini Wataka Udhibiti wa Sifa Kukabili Walaghai Katika Sekta
· 38 views
2:01Mwanasheria Mkuu Aangazia Umuhimu wa AI Katika Kuboresha Huduma Nchini
· 37 views
1:51Sifuna Azuiwa Kuhutubia Wanafunzi JKUAT, Aikosoa Serikali kwa Hatua Hiyo
· 296 views
2:20Wajir Yaongeza Maandalizi ya El Niño, Wadau Wahimizwa Kuimarisha Tahadhari
· 39 views
