Maafisa wawili wa polisi wauawa katika shambulizi Isiolo
Description (show more)
Watu watano wakiwemo maafisa wa polisi, wameuawa katika shambulizi lililotekelezwa na washukiwa wa wizi wa mifugo katika eneo la Gotu, Isiolo Kaskazini. Kama anavyoripoti Franklin Wallah, waliouawa ni pamoja na maafisa wawili wa polisi kutoka Kitengo cha kukabiliana na Wizi wa Mifugo, afisa mmoja wa akiba na wakazii wawili.
Related Videos
More from Citizen TV Kenya
2:36Kilifi Yaripoti Kuongezeka kwa Saratani, Kesi 10 Zarekodiwa Kila Wiki
· 20 views
2:31Mradi wa Sh4.4 B Kuwasaidia Wakazi 340,000 Kaskazini Kukabiliana na Ukame
· 14 views

1:19Ex-Govt Spokesperson Mwaura calls for inclusion of PWD agenda in country’s political dispensation
· 68 views
2:01Viongozi wa Dini Wataka Udhibiti wa Sifa Kukabili Walaghai Katika Sekta
· 38 views
2:01Mwanasheria Mkuu Aangazia Umuhimu wa AI Katika Kuboresha Huduma Nchini
· 37 views
1:51Sifuna Azuiwa Kuhutubia Wanafunzi JKUAT, Aikosoa Serikali kwa Hatua Hiyo
· 296 views
2:20Wajir Yaongeza Maandalizi ya El Niño, Wadau Wahimizwa Kuimarisha Tahadhari
· 39 views
