Kenyans Live

Maafisa wawili wa polisi wauawa katika shambulizi Isiolo

Description (show more)

Watu watano wakiwemo maafisa wa polisi, wameuawa katika shambulizi lililotekelezwa na washukiwa wa wizi wa mifugo katika eneo la Gotu, Isiolo Kaskazini. Kama anavyoripoti Franklin Wallah, waliouawa ni pamoja na maafisa wawili wa polisi kutoka Kitengo cha kukabiliana na Wizi wa Mifugo, afisa mmoja wa akiba na wakazii wawili.

Share: