Kenyans Live

Wakazi walalamikia kuongezeka kwa wizi wa mabavu Nairobi

Description (show more)

Visa vya wizi wa mabavu vimeripotiwa katika maeneo kadhaa ya Nairobi. Baadhi ya wakazi wa Parklands na maeneo ya Thika Road wameeleza jinsi walivyovamiwa na kuibiwa, huku hofu ya usalama ikiendelea kuongezeka.

Share: