Kenyans Live

Serikali ya Kajiado yahimiza kugatuliwa kwa majukumu husika

Description (show more)

Serikali ya kaunti ya Kajiado imetoa wito kwa serikali ya kitaifa kukabidhi kikamilifu majukumu ya usimamizi wa ardhi kwa kaunti. Waziri wa ardhi wa kaunti hiyo Hamilton Parseina amesema kaunti zinaendelea kukabiliwa na changamoto katika kutatua mizozo ya ardhi kutokana na kukosa kukabidhiwa kikamilifu majukumu hayo. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive

Share: