Kenyans Live

Serikali ya Nyandarua yaimarisha utayari wake wa kukabiliana na majanga kabla ya El Nino

Description (show more)

Serikali ya kaunti ya Nyandarua imeimarisha mpango wake wa utayari wa kukabiliana na majanga kabla ya mvua ya El Nino inayotarajiwa kunyesha. Gavana Kiarie Moses Badilisha amesema gatuzi hilo limetambua maeneo ambayo yako kwenye hatari  na liko tayari kukabiliana na uwezekano wa mafuriko na uharibifu wa miundombinu.  Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive

Share: