Kundi la wahuni laibuka Kisauni Mombasa, visa vya kuvamiwa na kuibiwa vyaripotiwa
Description (show more)
Wakazi wa Kisauni katika kaunti ya Mombasa wanaishi kwa hofu kufuatia kuzuka kwa visa vya kushambuliwa pamoja na ujambazi katika eneo hilo. Kwa mujibu wa Naila Abdallah ambaye ni mwanaharakati wa kutetea haki za binadamu, wakazi kadhaa wamevamiwa na kuporwa katika siku za hivi majuzi, tukio la hivi karibuni likihusisha bodaboda mwenye umri wa miaka 24 aliyevamiwa na kuachwa na majeraha kadhaa. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive
Related Videos
More from KBC Channel 1
2:36Kilifi Yaripoti Kuongezeka kwa Saratani, Kesi 10 Zarekodiwa Kila Wiki
· 20 views
2:31Mradi wa Sh4.4 B Kuwasaidia Wakazi 340,000 Kaskazini Kukabiliana na Ukame
· 14 views

1:19Ex-Govt Spokesperson Mwaura calls for inclusion of PWD agenda in country’s political dispensation
· 68 views
2:01Viongozi wa Dini Wataka Udhibiti wa Sifa Kukabili Walaghai Katika Sekta
· 38 views
2:01Mwanasheria Mkuu Aangazia Umuhimu wa AI Katika Kuboresha Huduma Nchini
· 37 views
1:51Sifuna Azuiwa Kuhutubia Wanafunzi JKUAT, Aikosoa Serikali kwa Hatua Hiyo
· 296 views
2:20Wajir Yaongeza Maandalizi ya El Niño, Wadau Wahimizwa Kuimarisha Tahadhari
· 39 views
