Kenyans Live

Wakazi wa Runyenjes wapata huduma za serikali bila malipo

Description (show more)

Maelfu ya wakazi wa Runyenjes, kaunti ya Embu, wamefaidika na kliniki ya huduma mbalimbali za bila malipo, iliyowaletea huduma za matibabu, kisheria na kilimo karibu na jamii.

Share: