Kenyans Live

Wakaazi wa Makueni watakiwa kuhifadhi Mlima Chyulu

Description (show more)

Wakazi wanaopakana na mbuga ya kitaifa ya chyulu huko Kibwezi kaunti ya Makueni wametakiwa kutunza mlima huo kwani unasaidia pakubwa kuimarisha mazingira kwenye eneo hilo .

Share: