Kenyans Live

Watu 5 wafariki, 13 wajeruhiwa katika ajali Machakos

Description (show more)

Watu 5 wamefariki na wengine 13 wakijeruhiwa kufuatia ajali mbaya ya barabarani ambayo imehusisha matatu ya abiria 18 ya kampuni ya Kinatwa Sacco na Trela katika eneo la Kapiti kwenye barabara kuu ya Nairobi, Mombasa.

Share: