Familia yake Sharon yaomba mahakama imhukumie Obado kifungo cha nje
Description (show more)
Kwenye tukio jipya katika kesi ya mauaji ya Sharon Otieno, familia yake sasa inaiomba mahakama kutomhukumia aliyekuwa gavana wa kaunti ya Migori Okoth Obado kifungo cha gerezani ikisema imemsamehe baada ya yeye mwenyewe kuiomba imsamehe. Mamaye Sharon, Melinda Auma, aliiambia mahakama kwamba familia hiyo ingependa Obado ahukumiwe kifungo cha nje ili asaidie kuwalea watoto wengine watatu wa Sharon.mahakama hiyo leo ilikamilisha kikao chake ili kucunguza maombi yaliyowasilishwa na pande zote kwenye kesi hiyo. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive
Related Videos
More from KBC Channel 1
2:36Kilifi Yaripoti Kuongezeka kwa Saratani, Kesi 10 Zarekodiwa Kila Wiki
2:31Mradi wa Sh4.4 B Kuwasaidia Wakazi 340,000 Kaskazini Kukabiliana na Ukame

1:19Ex-Govt Spokesperson Mwaura calls for inclusion of PWD agenda in country’s political dispensation
2:01Viongozi wa Dini Wataka Udhibiti wa Sifa Kukabili Walaghai Katika Sekta
2:01Mwanasheria Mkuu Aangazia Umuhimu wa AI Katika Kuboresha Huduma Nchini
1:51Sifuna Azuiwa Kuhutubia Wanafunzi JKUAT, Aikosoa Serikali kwa Hatua Hiyo
2:20