Ruto amshambulia Uhuru kwa kung’ang’ania uongozi wa Jubilee
Description (show more)
Rais William Ruto amemshambulia mtangulizi wake, Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta, akisema amejiaibisha kwa kung’ang’ania uongozi wa chama cha Jubilee. Akirejelea uamuzi wa mahakama wa Jumatatu uliomzuia Uhuru kuendelea kuwa kinara wa Jubilee, Ruto amesema rais huyo mstaafu ameshusha hadhi ya kiti cha urais. Kama anavyoarifu Emmanuel Too, Ruto aliendelea kujipigia debe katika ziara yake ya Kaunti ya Siaya, akisema serikali jumuishi imekuwa ikitekeleza miradi ya maendeleo bila ubaguzi.
Related Videos
More from Citizen TV Kenya
2:36Kilifi Yaripoti Kuongezeka kwa Saratani, Kesi 10 Zarekodiwa Kila Wiki
· 20 views
2:31Mradi wa Sh4.4 B Kuwasaidia Wakazi 340,000 Kaskazini Kukabiliana na Ukame
· 14 views

1:19Ex-Govt Spokesperson Mwaura calls for inclusion of PWD agenda in country’s political dispensation
· 68 views
2:01Viongozi wa Dini Wataka Udhibiti wa Sifa Kukabili Walaghai Katika Sekta
· 38 views
2:01Mwanasheria Mkuu Aangazia Umuhimu wa AI Katika Kuboresha Huduma Nchini
· 37 views
1:51Sifuna Azuiwa Kuhutubia Wanafunzi JKUAT, Aikosoa Serikali kwa Hatua Hiyo
· 296 views
2:20Wajir Yaongeza Maandalizi ya El Niño, Wadau Wahimizwa Kuimarisha Tahadhari
· 39 views
