Zaidi ya vijana 120,000 wafungwa katika miaka minne
Description (show more)
Zaidi ya Vijana 120,000 wamefungwa jela nchini katika kipindi cha miaka minne iliyopita. Waziri wa Usalama Kipchumba Murkomen amesema kuwa vijana hao walikamatwa kati ya mwaka 2022 na mwaka huu wa 2026. Aidha, Vijana 11,824 kati yao wamefungwa kwa makosa ya uhalifu unaohusishwa na magenge, ugaidi na uhuni. Na kama anavyoarifu Melita Ole Tenges, Murkomen anasistiza kuwa serikali inajitahidi kudhibiti uhuni na kuhakikisha kuna usalama kote nchini.
Related Videos
More from Citizen TV Kenya
2:36Kilifi Yaripoti Kuongezeka kwa Saratani, Kesi 10 Zarekodiwa Kila Wiki
· 20 views
2:31Mradi wa Sh4.4 B Kuwasaidia Wakazi 340,000 Kaskazini Kukabiliana na Ukame
· 14 views

1:19Ex-Govt Spokesperson Mwaura calls for inclusion of PWD agenda in country’s political dispensation
· 68 views
2:01Viongozi wa Dini Wataka Udhibiti wa Sifa Kukabili Walaghai Katika Sekta
· 38 views
2:01Mwanasheria Mkuu Aangazia Umuhimu wa AI Katika Kuboresha Huduma Nchini
· 37 views
1:51Sifuna Azuiwa Kuhutubia Wanafunzi JKUAT, Aikosoa Serikali kwa Hatua Hiyo
· 296 views
2:20Wajir Yaongeza Maandalizi ya El Niño, Wadau Wahimizwa Kuimarisha Tahadhari
· 39 views
