Kenyans Live

Wanasiasa Watakiwa Kuepuka Kauli za Uchochezi

Description (show more)

Wanasiasa wametakiwa kuepuka kutumia maneno ya uchochezi na badala yake kuhimiza amani. Viongozi wa dini pia wametoa wito kwa nchi za Afrika Mashariki kuheshimu na kufuata katiba zao.

Share: