Kenyans Live

Idadi ya mimba za utotoni yaongezeka Taita Taveta

Description (show more)

Wanaharakati wa kijamii kaunti ya Taita Taveta sasa wanataka suala la dhulma hasa miongoni mwa watoto kushughulikiwa vilivyo kwani idadi ya visa hivyo inazidi kuongezeka.

Share: