Wakenya wahimizwa kupanda na kutunza miti
Description (show more)
Mwanamazingira Dr. Isaac Kalua Green ametoa wito kwa wakenya kuwajibikia ukuaji wa miti wanayoipanda. Dr Green aliyasema hayo wakati wa siku ya mwaka huu ya kupanda miti kuambatana na umri wako ambayo huadhimishwa kila tarehe 14 mwezi Septemba ambako alisema kuwa miti mingi hupandwa na taasisi na watu binafsi ila inatelekezwa bila kutunzwa. Sasa amezindua kitabu kipya na programu kwenye simu za mkononi ili kuimarisha uwajibikaji katika ukuzaji miti. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive
Related Videos
More from KBC Channel 1
2:36Kilifi Yaripoti Kuongezeka kwa Saratani, Kesi 10 Zarekodiwa Kila Wiki
· 20 views
2:31Mradi wa Sh4.4 B Kuwasaidia Wakazi 340,000 Kaskazini Kukabiliana na Ukame
· 14 views

1:19Ex-Govt Spokesperson Mwaura calls for inclusion of PWD agenda in country’s political dispensation
· 68 views
2:01Viongozi wa Dini Wataka Udhibiti wa Sifa Kukabili Walaghai Katika Sekta
· 38 views
2:01Mwanasheria Mkuu Aangazia Umuhimu wa AI Katika Kuboresha Huduma Nchini
· 37 views
1:51Sifuna Azuiwa Kuhutubia Wanafunzi JKUAT, Aikosoa Serikali kwa Hatua Hiyo
· 296 views
2:20Wajir Yaongeza Maandalizi ya El Niño, Wadau Wahimizwa Kuimarisha Tahadhari
· 39 views
