Kenyans Live

Wafanyabiashara wa omena Busia wahofia hasara kutokana na mafuriko

Description (show more)

Wafanyabiashara wa omena katika Kaunti ya Busia wanahofia kupata hasara kuanzia mwezi Oktoba kutokana na tahadhari ya mafuriko yanayoweza kusababishwa na El Nino.

Share: