Kenyans Live

Walimu Waandamana Kericho Kufuatia Mauaji ya Martina Chepkemoi

Description (show more)

Walimu wa chama cha KUPPET tawi la Kericho wameandamana wakitaka haki itendeke kwa mwalimu mwenzao, Martina Chepkemoi Ruto, aliyekuwa akifundisha katika Shule ya Sekondari ya Lalagin.

Share: