Uuzaji wa hisa za Safaricom wasitishwa kwa kukosekana kwa ushiriki wa umma
Description (show more)
Uuzaji wa hisa za Safaricom kwa Vodafone haukukidhi matakwa ya ushirikishwaji wa umma, jambo lililofanya mchakato huo kuwa kinyume cha sheria. Majaji wa Mahakama Kuu, Francis Gikonyo, Roselyne Aburili na Fridah Awiyo, wanasema kuwa shughuli hiyo haikuhusisha ushirikishwaji wa maana wa umma kama ilivyoainishwa katika Katiba. Jopo hilo la majaji watatu limeagiza kuwa hisa hizo kwa asilimia 15 zirudishwe kwa Hazina ya Taifa. Uuzaji huo ulifanyika mwezi Aprili mwaka huu na fedha zilizopatikana zilipelekwa kwenye hazina ya kitaifa ya Miundombinu. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive
Related Videos
More from KBC Channel 1
2:36Kilifi Yaripoti Kuongezeka kwa Saratani, Kesi 10 Zarekodiwa Kila Wiki
2:31Mradi wa Sh4.4 B Kuwasaidia Wakazi 340,000 Kaskazini Kukabiliana na Ukame

1:19Ex-Govt Spokesperson Mwaura calls for inclusion of PWD agenda in country’s political dispensation
2:01Viongozi wa Dini Wataka Udhibiti wa Sifa Kukabili Walaghai Katika Sekta
2:01Mwanasheria Mkuu Aangazia Umuhimu wa AI Katika Kuboresha Huduma Nchini
1:51Sifuna Azuiwa Kuhutubia Wanafunzi JKUAT, Aikosoa Serikali kwa Hatua Hiyo
2:20