Kenyans Live

Agnes Ngetich avunja rekodi ya dunia ya nusu marathon

Description (show more)

Mwanariadha Agnes Ng’Etich, ambaye ni mshikilizaji wa rekodi ya dunia ya mbio za barabarani za kilomita 10, amevunja rekodi ya dunia ya mbio za nusu marathon kwa wanawake pekee, katika mashindano ya dunia ya mbio za barabarani yanayoendelea mjini Copenhagen, Denmark.

Share: