Kapu la Biashara | Wakenya matajiri kuepuka kuwekeza kwenye ardhi na majengo
Description (show more)
Watunga sera, wawekezaji na viongozi wa masoko ya fedha wanaangazia namna nchi za Afrika zinavyoweza kutumia rasilimali za ndani za uwekezaji kufadhili miundombinu, nishati, ustahimilivu dhidi ya mabadiliko ya tabianchi na uundaji wa ajira. Wajumbe katika Mkutano wa Tatu wa Masoko Endelevu ya Mitaji jijini Nairobi wanasema kuwa, licha ya wawekezaji wa kitaasisi barani Afrika kusimamia mali zenye thamani ya dola trilioni 4 kupitia mifuko ya pensheni, makampuni ya bima, benki na hazina za utajiri wa taifa, ni takriban asilimia 2.7 pekee ndiyo inayowekezwa katika sekta zenye tija kama vile miundombinu. Haya hapa maelezo ya habari hii na nyingine katika kapu letu la biashara. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive
Related Videos
More from KBC Channel 1
2:36Kilifi Yaripoti Kuongezeka kwa Saratani, Kesi 10 Zarekodiwa Kila Wiki
2:31Mradi wa Sh4.4 B Kuwasaidia Wakazi 340,000 Kaskazini Kukabiliana na Ukame

1:19Ex-Govt Spokesperson Mwaura calls for inclusion of PWD agenda in country’s political dispensation
2:01Viongozi wa Dini Wataka Udhibiti wa Sifa Kukabili Walaghai Katika Sekta
2:01Mwanasheria Mkuu Aangazia Umuhimu wa AI Katika Kuboresha Huduma Nchini
1:51Sifuna Azuiwa Kuhutubia Wanafunzi JKUAT, Aikosoa Serikali kwa Hatua Hiyo
2:20