Mkewe aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa KBC Eunice Anabwani afanyiwa ibada ya wafu
Description (show more)
Familia, jamaa, marafiki na wafanyakazi wenza walikusanyika katika kanisa la CITAM Karen jijini Nairobi kwa ibada ya wafu ya kusherehekea maisha ya Eunice Anabwani,aliyeaga dunia tarehe 9 mwezi huu akiwa na umri wa miaka 82. Eunice,mkewe aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa shirika la Utangazaji nchini KBC Simeon Anabwani,anakumbukwa kwa upendo kwa familia yake, maisha yake ya taaluma na na mfanyabiasahra na mkulima kwa miaka mingi.Atazikwa jumamosi ijayo tarehe 19 shambani mwake Kilingili,Bunyore, kaunti ya Vihiga. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive
Related Videos
More from KBC Channel 1
2:36Kilifi Yaripoti Kuongezeka kwa Saratani, Kesi 10 Zarekodiwa Kila Wiki
2:31Mradi wa Sh4.4 B Kuwasaidia Wakazi 340,000 Kaskazini Kukabiliana na Ukame

1:19Ex-Govt Spokesperson Mwaura calls for inclusion of PWD agenda in country’s political dispensation
2:01Viongozi wa Dini Wataka Udhibiti wa Sifa Kukabili Walaghai Katika Sekta
2:01Mwanasheria Mkuu Aangazia Umuhimu wa AI Katika Kuboresha Huduma Nchini
1:51Sifuna Azuiwa Kuhutubia Wanafunzi JKUAT, Aikosoa Serikali kwa Hatua Hiyo
2:20