Familia ya Raila yatangaza kamati ya maadhimisho ya kumbukumbu
Description (show more)
Familia ya hayati Raila Odinga imetangaza kuundwa kwa kamati ya kitaifa itakayoongoza maadhimisho ya kumbukumbu yake kuanzia tarehe 10 Oktoba hadi tarehe 17 Oktoba. Balozi Mama Ida Odinga, mjane wa Raila, amesema kamati hiyo itajumuisha serikali kuu, vyama vya kisiasa, wasomi na Wakenya wote walioenzi maisha ya marehemu. Kamati hiyo itasimamiwa na Profesa Adams Oloo, huku aliyekuwa Mwanasheria Mkuu, Amos Wako, na Afisa Mkuu wa Telkom, Mugo Kibati, wakiwa miongoni mwa wajumbe.
Related Videos
More from Citizen TV Kenya
3:05KUPPET yataka vikao vya ufadhili wa elimu kusitishwa
· 15 views

🔴LIVE || DR OFWENEKE TONIGHT || TV47KENYA
· 561 views
4:30Siha na maumbile | Kumbukizi ya siku ya kuzuia kujitoa uhai duniani
· 40 views
37:53Mzozo umeibuka ndani ya kundi la Linda Mwananchi; je, hili lina maana gani kwa vuguvugu hilo?
· 87 views
1:22Kanja kuamriwa kufika kortini kwa kutotii amri
· 363 views
1:12Viongozi wamuomboleza Maureen Nyadida Lukoye
· 231 views
3:02Maandalizi ya maonesho ya kibiashara ya Nairobi yakamilika
· 14 views
2:20Nairobi International Trade Fair organisers say Jamhuri ASK grounds 99ready to host the show
· 156 views
