Kanja kuamriwa kufika kortini kwa kutotii amri
Description (show more)
Mahakama imemuamuru Inspekta Jenerali wa Polisi, Douglas Kanja, kufika mahakamani tarehe 28 ya mwezi huu ili kuhukumiwa kwa kukosa kufuata amri ya mahakama. Hatua hiyo imechukuliwa baada ya idara ya polisi kupatikana na hatia ya kuweka vizuizi barabarani jijini Nairobi wakati wa maadhimisho ya kumbukumbu ya maandamano ya Gen Z mwaka jana.
Related Videos
More from Citizen TV Kenya
3:05KUPPET yataka vikao vya ufadhili wa elimu kusitishwa
· 15 views
4:30Siha na maumbile | Kumbukizi ya siku ya kuzuia kujitoa uhai duniani
· 40 views
37:53Mzozo umeibuka ndani ya kundi la Linda Mwananchi; je, hili lina maana gani kwa vuguvugu hilo?
· 87 views
1:12Viongozi wamuomboleza Maureen Nyadida Lukoye
· 231 views
3:02Maandalizi ya maonesho ya kibiashara ya Nairobi yakamilika
· 14 views
1:13Familia ya Raila yatangaza kamati ya maadhimisho ya kumbukumbu
· 268 views
2:22Rais Ruto kuhudhuria kongamano la UNGA
· 14 views
2:20Nairobi International Trade Fair organisers say Jamhuri ASK grounds 99ready to host the show
· 156 views
