Kenyans Live

Siha na maumbile | Kumbukizi ya siku ya kuzuia kujitoa uhai duniani

Description (show more)

Kila mwezi Septemba ulimwengu huadhimisha siku ya kutoa hamasisho dhidi ya kujitoa uhai. Ni kuambatana na hayo ambapo Mwanahamisi Hamadi alipata fursa ya kumhoji Koome Kaburu ambaye ni mtaalamu wa afya ya akili kutoka Equity Afya Kenol na kutundalia makala ya Siha na Maumbile.

Share: