Kenyans Live

KUPPET yataka vikao vya ufadhili wa elimu kusitishwa

Description (show more)

Muungano wa walimu wa shule za upili na vyuo anuai KUPPET umetaka kusitishwa kwa vikao vya kukusanya maoni kuhusu ufadhili wa elimu nchini. KUPPET ikitaka mashauriano na mchango wa walimu, wazazi pamoja na miungano ya walimu kufanywa kabla ya zoezi hilo kuendelea. Vikao hivyo viliendelea kaunti za Kisii na Kericho.

Share: