Maandalizi ya maonesho ya kibiashara ya Nairobi yakamilika
Description (show more)
Taarifa za kuaminika zimekuwa kishawishi kikubwa katika kufanya maamuzi kuhusu uwekezaji huku wafanyabiashara wakitegemea mifumo thabiti ya deta, usimamizi na wafanyakazi wenye ujuzi. Wadau wa sekta ya kifedha wanataja ufinyu kwenye mifumo ya utoaji habari endelevu kama kikwazo cha utekelezaji wa viwango vya kimataifa vya utoaji habari. Taarifa hii ni kwenye kitengo cha Kapu la Biashara. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive
Related Videos
More from KBC Channel 1
3:05KUPPET yataka vikao vya ufadhili wa elimu kusitishwa
· 15 views
4:30Siha na maumbile | Kumbukizi ya siku ya kuzuia kujitoa uhai duniani
· 40 views
37:53Mzozo umeibuka ndani ya kundi la Linda Mwananchi; je, hili lina maana gani kwa vuguvugu hilo?
· 87 views
1:22Kanja kuamriwa kufika kortini kwa kutotii amri
· 363 views
1:12Viongozi wamuomboleza Maureen Nyadida Lukoye
· 231 views
1:13Familia ya Raila yatangaza kamati ya maadhimisho ya kumbukumbu
· 268 views
2:22Rais Ruto kuhudhuria kongamano la UNGA
· 14 views
1:49Naibu balozi Andrew Barnes aelezea imani kuwa Kenya itaandaa uchaguzi wa amani
· 7 views
