Kenyans Live

Rais Ruto kuhudhuria kongamano la UNGA

Description (show more)

Kenya inatarajiwa kujiunga na  mataifa mengine duniani kwenye kongamano la 81 la baraza  kuu la umoja wa mataifa-UNGA la mwaka-2026 ambapo masuala muhimu ya kimataifa yatajadiliwa. Kwenye kikao na wanahabari kuhusu mada kuu za mkutano huo, Katibu katika wizara ya mashauri ya nchi za kigeni Dkt Abraham Korir Sing'oei, alisema ajenda muhimu ya taifa hili kwenye kikao hicho itakuwa kutafuta uungwaji mkono wa Wakenya wanaopania kuwania nyadhifa muhimu kwenye umoja wa mataifa, ikiwemi kwenye nyanja ya akili-unde yaani AI.    Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive

Share: