Ruto amshutumu Uhuru kwa kuwatumia viongozi kuhujumu miradi
Description (show more)
Rais William Ruto ameendeleza shutuma zake dhidi ya Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta, akidai kuwa anawatuma viongozi wa upinzani kuhujumu miradi ya maendeleo ya serikali. Akizungumza katika Kaunti ya Migori, Ruto aliwataka Wakenya kupuuza kile alichokitaja kuwa ni hadaa za upinzani, akisema viongozi hao hawana mpango wala tajriba ya kuendeleza taifa kwa manufaa ya vizazi vijavyo.
Related Videos
More from Citizen TV Kenya
3:05KUPPET yataka vikao vya ufadhili wa elimu kusitishwa
· 15 views
4:30Siha na maumbile | Kumbukizi ya siku ya kuzuia kujitoa uhai duniani
· 40 views
37:53Mzozo umeibuka ndani ya kundi la Linda Mwananchi; je, hili lina maana gani kwa vuguvugu hilo?
· 87 views
1:22Kanja kuamriwa kufika kortini kwa kutotii amri
· 363 views
1:12Viongozi wamuomboleza Maureen Nyadida Lukoye
· 231 views
3:02Maandalizi ya maonesho ya kibiashara ya Nairobi yakamilika
· 14 views
1:13Familia ya Raila yatangaza kamati ya maadhimisho ya kumbukumbu
· 268 views
2:22Rais Ruto kuhudhuria kongamano la UNGA
· 14 views
