Kenya kuwa taifa la kwanza Afrika kuandaa Mashindano ya Riadha 2029
Description (show more)
Kenya kwa mara nyingine itaweka historia kwa kuwa taifa la kwanza barani Afrika kuandaa Mashindano ya Riadha Duniani mwaka 2029. Beijing, China, itakuwa mwenyeji wa mashindano ya mwaka 2027 kabla ya kukabidhi Nairobi kwa makala ya 2029. Ombi la Kenya limekubaliwa na Shirikisho la Riadha Duniani, huku maandalizi yakitarajiwa kuanza mara moja.
Related Videos
More from Citizen TV Kenya
3:05KUPPET yataka vikao vya ufadhili wa elimu kusitishwa
· 15 views
4:30Siha na maumbile | Kumbukizi ya siku ya kuzuia kujitoa uhai duniani
· 40 views
37:53Mzozo umeibuka ndani ya kundi la Linda Mwananchi; je, hili lina maana gani kwa vuguvugu hilo?
· 87 views
1:22Kanja kuamriwa kufika kortini kwa kutotii amri
· 363 views
1:12Viongozi wamuomboleza Maureen Nyadida Lukoye
· 231 views
3:02Maandalizi ya maonesho ya kibiashara ya Nairobi yakamilika
· 14 views
1:13Familia ya Raila yatangaza kamati ya maadhimisho ya kumbukumbu
· 268 views
2:22Rais Ruto kuhudhuria kongamano la UNGA
· 14 views
