Wakandarasi Taita Taveta Wataka Kulipwa Madeni ya Kuanzia 2013
216 viewsYouTube
Description (show more)
Baadhi ya wanakandarasi kaunti ya Taita Taveta wamejitokeza na kuitaka serikali ya kaunti hiyo kuwalipa malimbiziki ya fedha zao wanazodai kutoka mwaka 2013. Wakiongozwa na mwenyekiti wao Ben Kibengo wanasema sharti wanakandarasi kutoka kaunti hiyo wawe wa kwanza kulipwa fedha wanazodai serikali baada ya kutekeleza miradi mbalimbali mashinani.
Related Videos
More from Citizen TV Kenya
3:05KUPPET yataka vikao vya ufadhili wa elimu kusitishwa
· 15 views
4:30Siha na maumbile | Kumbukizi ya siku ya kuzuia kujitoa uhai duniani
· 40 views
37:53Mzozo umeibuka ndani ya kundi la Linda Mwananchi; je, hili lina maana gani kwa vuguvugu hilo?
· 87 views
1:22Kanja kuamriwa kufika kortini kwa kutotii amri
· 363 views
1:12Viongozi wamuomboleza Maureen Nyadida Lukoye
· 231 views
3:02Maandalizi ya maonesho ya kibiashara ya Nairobi yakamilika
· 14 views
1:13Familia ya Raila yatangaza kamati ya maadhimisho ya kumbukumbu
· 268 views
2:22Rais Ruto kuhudhuria kongamano la UNGA
· 14 views
