Kindiki ahakikisha uchaguzi wa 2027 utakuwa huru na wa haki
Description (show more)
Naibu Rais Kithure Kindiki amewahakikishia Wakenya na washirika wa kimataifa kwamba uchaguzi mkuu wa mwaka 2027 utakuwa huru, wa haki, wa amani na wa kuaminika. Akizungumza katika Mkutano wa 15 wa Ushirikiano wa Maendeleo katika makao yake rasmi Karen, Nairobi, Kindiki amesema serikali itafanya kila iwezalo kuhakikisha taifa linasalia imara wakati na baada ya uchaguzi. Aidha, Waziri Mkuu wa Baraza la Mawaziri Musalia Mudavadi amewaonya wanasiasa dhidi ya kusambaza taarifa zinazoweza kudhoofisha imani ya umma katika mchakato wa uchaguzi.
Related Videos
More from Citizen TV Kenya
3:05KUPPET yataka vikao vya ufadhili wa elimu kusitishwa
· 15 views
4:30Siha na maumbile | Kumbukizi ya siku ya kuzuia kujitoa uhai duniani
· 40 views
37:53Mzozo umeibuka ndani ya kundi la Linda Mwananchi; je, hili lina maana gani kwa vuguvugu hilo?
· 87 views
1:22Kanja kuamriwa kufika kortini kwa kutotii amri
· 363 views
1:12Viongozi wamuomboleza Maureen Nyadida Lukoye
· 231 views
3:02Maandalizi ya maonesho ya kibiashara ya Nairobi yakamilika
· 14 views
1:13Familia ya Raila yatangaza kamati ya maadhimisho ya kumbukumbu
· 268 views
2:22Rais Ruto kuhudhuria kongamano la UNGA
· 14 views
