Magari kadhaa yateketezwa, watu wawili wahofiwa kufariki kufuatia ghasia wakati wa mkutano Embu
Description (show more)
Magari kadhaa yaliteketezwa huku watu wawili wakihofiwa kuaga dunia baadaya ghasia kuzuka uwanja wa Nembure kaunti ya Embu wakati wa mkutano ulioandaliwa na naibu rais Kithure Kindiki. Maafisa wa polisi walilazimika kurusha gesi ya kutoza machozi baada ya wakazi waliozuiwa kuingia kwenye mkutano huo wa maafisa wa uchaguzi wa chama cha UDA kukabiliana na maafisa wa usalama. Naibu rais Kithure Kindiki na chama cha UDA wameshtumu ghasia hizo wakielezea masikitiko yao kutokana na uharibifu huo na kutoa wito wa uchunguzi wa haraka. Gavana wa Embu Cecily Mbarire amemkosoa mbunge wa eneo hilo kwa madai ya kuchochea ghasia hizo. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive
Related Videos
More from KBC Channel 1
3:05KUPPET yataka vikao vya ufadhili wa elimu kusitishwa
4:30Siha na maumbile | Kumbukizi ya siku ya kuzuia kujitoa uhai duniani
37:53Mzozo umeibuka ndani ya kundi la Linda Mwananchi; je, hili lina maana gani kwa vuguvugu hilo?
1:22Kanja kuamriwa kufika kortini kwa kutotii amri
1:12Viongozi wamuomboleza Maureen Nyadida Lukoye
3:02Maandalizi ya maonesho ya kibiashara ya Nairobi yakamilika
1:13Familia ya Raila yatangaza kamati ya maadhimisho ya kumbukumbu
2:22